Ngoma aipaisha Yanga ugenini.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga akishangilia moja ya bao aliloofungia klabu yake bao kwenye mechi za ligi kuu ya soka Tanzania bara.

Wawakilishi wa Tanzania katika ngalambe ya michuano ya vilabu barani Afrika timu ya Yanga ikiwa ugenini hii leo imefanikiwa kuibuka na ushindi wa kwanza katika mchezo wa kwanza wa hatua ya awali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS