TRA yawataka wajasiriamali kusaidia ulipaji Kodi

Mkurugenzi wa Huduma na elimu kwa Mlipa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Bw. Richard Kayombo

Mamlaka ya mapato nchini Tanzania (TRA) imewataka watanzania kuisaidia nchi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kujitokeza kulipa kodi na kuhalalisha shughuli wanazozifanya kwa kushirikiana na mamlaka hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS