Wajawazito hatarini kwa kukosa barabara Arumeru

Diwani wa kata Laroi wilaya ya Arumeru Magharibi Mkoani Arusha Ojungu Salekwa.

Zaidi ya wakazi 5000 wa kata ya Laroi wilaya ya Arumeru Magharibi Mkoani Arusha wanakabiliwa na adhaa kubwa ya ukosefu wa barabara na vivuko,jambo linalohatarisha maisha yao kwa kukosa huduma za muhimu za kibinaadamu hasa kipindi cha mvua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS