Coastal yavunja mwiko wa Azam
Wagosi wa kaya Coastal Union na beki wao kisiki wa pembeni aliyekatika timu hiyo kwa mkopo akitokea Simba Miraji Adam wameweka rekodi nyingine kwa kuifunga timu ambayo ilikuwa haijawahi kupoteza mchezo katika ligi kuu bara msimu huu Azam FC

