Watakaokula rushwa ya ardhi wafukuzwe kazi- Mabula

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi mhe. Angelina Mabula.

Serikali imewaagiza wakurugenzi watendaji wa halmashauri zote nchini kuchukua hatua kali ikiwa ni pamoja na kuwafukuza kazi watumishi wa idara ya ardhi ambao wamebainika kujihusisha na vitendo vya rushwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS