Ranieli asema mwamuzi ndiye aliwanyima ushindi.
Meneja wa Leicester City Claudio Ranieri anaamini uamuzi wa mwamuzi Martin Atkinson kumtoa Danny Simpson kwa kadi nyekundu katika mechi ya jana waliyopoteza dhidi ya Arsenal kwa bao 2-1 ndio uliosababisha mazingira magumu sana kwa timu yake.
