Aishi atupa lawama kwa waamuzi mchezo na Coastal

Mlinda Mlango wa Azam FC, Aishi Salum Manula

Mlinda mlango wa Klabu ya Azam FC Aishi Salum Manula amemtupia lawama mwamuzi wa ndani aliyechezesha mchezo wa jana wa ligi kuu ya soka Tanzania Bara dhidi ya Coastal Union Mkwakwani jijini Tanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS