Tanzania yasema haitajitoa Mahakama ya ICC

Waziri wa mambo ya nje, ushirikiano wa Afrika Mashariki wa kikanda na kimataifa balozi Agustine Mahiga

Tanzania imesema haina mpango wa kujitoa katika mahakama ya kimataifa ya ICC na kutaka kufanyiwa marekebisho ya baadhi ya vipengele vinavyolalamikiwa kuwa haitendi haki na imekuwa ikiwaonea viongozi wa bara Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS