Kinondoni kukusanya bil 13 toka kwenye mabango Zaidi ya shilingi bilioni 13 zinatarajiwa kukusanywa na halmashauri ya manispa ya kinondoni ikiwa ni kodi ya mabango madogo na makubwa yanayoonekana maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo. Read more about Kinondoni kukusanya bil 13 toka kwenye mabango