Serikali yafurahishwa na uokozi mkoa wa Iringa

Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Maafa kutoka ofisi ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho,

Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Maafa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Naima Mrisho amesema serikali imeridhishwa na uongozi wa mkoa wa Iringa katika kukabiliana na maafa yaliyowakumba wananchi wa tarafa ya Idodi na Pawaga baada ya mafuriko.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS