Polisi waingilia kati vurugu wamasaai na watatoga
Hali ya hatari imeibuka katika kijiji cha Kutishi mpakani mwa wilaya za Kondoa na Simanjiro baada ya watu wa jamii ya kifugaji kutoka makabila ya maasai na watatoga kutaka kupambana kwa madai ya kuibiana ng’ombe.

