Zidane aweka rekodi tatu kubwa Real Madrid

Kocha Mkuu wa Real Madrid akiwa na kombe la klabu bingwa Ulaya walilotwaa jana usiku.

Kocha Mkuu wa Real Madrid Mfaransa Zinedine Zidane ambaye enzi zake alijulikana kama 'Zizou' ameweka rekodi tatu kubwa huku pia akiweka rekodi ya kipekee yakuwa Mfaransa wa kwanza kuchukuwa ubingwa huo akiwa kocha wa timu ya nje ya nchi yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS