Wamisri kuwasili kesho, kuvaana na Stars Jumamosi

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Misri kinatarajiwa kuwasili hapo kesho kwa ajili ya mchezo dhidi ya Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars wa kuwania fainali za AFCON utakaopigwa jumamosi ya Juni 04 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS