Sina chuki na Simba-Jerry Muro

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha klabu ya Yanga, Jerry Muro.

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha klabu ya Yanga, Jerry Muro amesema wanaoamini kuwa ana chuki na uongozi wa klabu au mashabiki wa Simba wanajidanganya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS