Mradi wa TASAF uliingiliwa na udanganyifu

Waziri wa Nchi Ofisi ya rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. George Simbachawene.

Serikali imesema kuwa takribani Kaya elfu 25,446 ziliingia kwa udanganyifu kwenye mradi wa TASAF kutokana na kukosa sifa za kuwa na kiwango cha umasikini ikiwemo baadhi ya viongozi wa Kaya kuwaingiza ndugu zao katika mradi huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS