Rushwa bado tatizo kubwa Mahakamani-Jaji Chande

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman (Katikati),akiwa na Waziri wa Katiba na Sheria (Kulia) Dkt. Harrison Mwakyembe.

Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Mohamed Othman Chande amesema tafiti ambazo zimefanywa na taasisi mbili nchini zimeonesha kuwa idara ya mahakama bado inakabiliwa changomoto kubwa ya ukosefu wa nidhamu, huku tatizo la rushwa pia likitajwa kuwa kero

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS