Utafiti kufanyika kuvuta maji Igunga -Singida

Naibu Waziri wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwele amesema serikali itafanya utafiti wa kuangalia uwezekano wa kuvuta maji kutoka wilayani Igunga Mkoani Tabora kwenda Mkoa wa Singida baada ya Mkoa huo kuwa mkame maeneo mengi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS