Polisi shughulikeni na wachochezi – Mwigulu

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba amelitaka jeshi la polisi kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kikamilifu na endapo viongozi wa vyama vya siasa watafanya uchochezi wowote wenye kuvuruga amani wahangaike nao kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS