Ureno yatinga nusu fainali Euro 2016 Timu ya taifa ya Ureno imetinga hatua ya nusu fainali katika michuano ya Euro 2016 inayoendelea nchini Ufaransa na kuwa nchi ya kwanza kufuzu katika hatua hiyo baada ya kuifunga Poland kwa mikwaju ya penalti 5-3. Read more about Ureno yatinga nusu fainali Euro 2016