Ray C ni almasi ya Bongo Flava: Rash Don

Rash Don.

Mwaandaaji wa muziki wa bongo fleva Rash Don ambaye awali tulikufahamisha kuwa amefanya wimbo na Ray C, ameiambia Enewz kuwa anaomba Ray C asaidiwe kutoka katika kundi la matumizi ya madawa ya kulevya kwani ni kati ya wasanii wanaoiwakilisha nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS