Moto watetekeza kituo cha Yatima Iringa Kituo cha Faraja kabla ya kuungua. Moto umetetekeza mabweni manne katika kituo cha kulea watoto ya Yatima na waishio katika mazingira magumu, cha Faraja kilichopo mkoani Iringa, na kusababisha hasara ya shilingi milioni 140. Read more about Moto watetekeza kituo cha Yatima Iringa