Mkurugenzi mpya wa jiji Arusha akutana na madudu

Mnara wa Saa katika jiji la Arusha

Mkurugenzi mpya wa halmashauri ya Jiji la Arusha,Athumani Kihamia, amesema siku 28 alizokaa tangu apangiwe Jiji hilo, amegundua madudu mengi ya watumishi, likiwemo la Idara ya ardhi kuuza kiwanja kimoja kwa watu zaidi ya wawili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS