Mkurugenzi wa Mfuko wa Barabara afukuzwa kazi

Dkt. John Pombe Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (Road Fund Board) Dkt. James Munanka Wanyancha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS