Mkurugenzi wa Mfuko wa Barabara afukuzwa kazi Dkt. John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (Road Fund Board) Dkt. James Munanka Wanyancha. Read more about Mkurugenzi wa Mfuko wa Barabara afukuzwa kazi