Dance100% imewafanya vijana kuwa wamoja – BASATA

Mkuu wa Matukio kutoka BASATA Kurwijira N Maregesi

Baraza la Sanaa Tanzania BASATA limesema Shindano la Dance100% lililomalizika Jumamosi katika viwanja vya Don Bosco Jijini Dar es salaam limewafanya vijana kuwa wamoja na kujenga urafiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS