Dance100% imewafanya vijana kuwa wamoja – BASATA Mkuu wa Matukio kutoka BASATA Kurwijira N Maregesi Baraza la Sanaa Tanzania BASATA limesema Shindano la Dance100% lililomalizika Jumamosi katika viwanja vya Don Bosco Jijini Dar es salaam limewafanya vijana kuwa wamoja na kujenga urafiki. Read more about Dance100% imewafanya vijana kuwa wamoja – BASATA