Sihitaji meneja nahitaji ushauri – Mr. Blue

Mr Blue (Kulia) akiwa na Abby Skillz ndani ya FNL

Msanii wa Bongo Fleva Mr. Blue amesema hahitaji kuwa na meneja wa kumsaidia katika kazi zake baada ya kuwa nao mara kadhaa na kutoona mafanikio yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS