CHADEMA yaukataa muswada wa vyombo vya habari

Mh. Freeman Mbowe, mwenyekiti CHADEMA na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni

Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimesema kuwa Muswada wa Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari unaotarajiwa kuwasilishwa kwenye Mkutano wa Bunge unaoanza Jumanne, Novemba 1, mwaka huu, ni hatari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS