Urasimashaji wa ardhi kutatatua migogoro Morogoro

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Kebwe Steven Kebwe.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Kebwe Steven Kebwe, amesema kuwa mradi wa upimaji na kuwezesha wananchi kupata ardhi utasaidia kutatua kwa kiasi kikubwa cha migogoro ya ardhi mkoani humo na kuufanya mkoa kuendelea kuwa ghala la taifa la chakula.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS