Masauni awaomba watanzania kusaidia watoto yatima

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni amewaomba Watanzania kuweka utamaduni wa kuvisaidia vituo vya watoto yatima nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS