Bongo Movie ni biashara ya ukichaa - Barafu Barafu, Msanii wa Bongo Movie Msanii wa Bongo Movie Barafu amesema biashara ya movie ni kama biashara kichaa kwa kuwa inamlazimu msanii kufanya kazi na kuipeleka kwa "Mhindi" ambaye hadi auze kwanza arudishe pesa ndipo amlipe msanii. Read more about Bongo Movie ni biashara ya ukichaa - Barafu