Serikali iboreshe sera za maendeleo - Jaji Warioba

Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (Kulia)

Serikali imetakiwa kuhakikisha kuwa na itikadi thabiti katika kutekeleza sera zilizowekwa na waasisi wa taifa katika kuondoa ujinga, maradhi na umasikini ili kuleta maendeleo haraka kwa wananchi wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS