Nyota 24 Taifa Stars waitwa kambini Oktoba 2

Charles Boniface Mkwasa

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa ametaja majina ya nyota 24 watakaounda kikosi kitakachosafiri mwishoni mwa wiki ijayo kwenda Addis Ababa, Ethiopia kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika Oktoba 8, mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS