“Tuko tayari kwa vita” - Makocha Serengeti Boys

Makocha wa Serengeti Boys, kutokea kushoto ni Muharami Mohammed, Bakari Nyundo Shime na mshauri wa benchi la ufundi, Kim Paulsen wakiwa nchini Congo.

Makocha wa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya vijana wa Tanzania ‘Serengeti Boys’, Bakari Nyundo Shime na Muharami Mohammed anayewanoa makipa watatu wa timu hii, wamesema kwa pamoja: “Tuko tayari kwa vita.”

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS