Mbarawa ataka ujenzi Flyover ya TAZARA uharakishwe

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akikagua ujenzi wa Flyover TAZARA

Serikali imeitaka Kampuni ya kikandarasi ya Sumitomo Mitsui inayojenga mradi wa ujenzi wa barabara ya juu (Flyover) katika makutano ya barabara ya Nyerere na Mandela eneo la Tazara kumaliza ujenzi huo kwa wakati

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS