Naweza kufanya filamu bure kukuza vipaji - Jengua

Jengua

Mzee Mohammed Fungafunga maarufu katika tasnia ya filamu kama Jengua amefunguka na kusema anaweza kufanya filamu hata bure ili kuwasaidia wasanii wachanga waweze kutoka katika tasnia ya filamu nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS