Rais Magufuli ajivunia uimara wa Jeshi la Wananchi
Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli, amefunga maadhimisho ya miaka 52 ya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kwa kushuhudia zoezi la medani liitwalo ''Amphibious Landing'' lililofanyika Bagamoyo Mkoani Pwani.