Hakuna Simba bila Yanga - Gabo Zigamba
Msanii wa filamu nchini ambaye kwa sasa anatajwa kuwa ni moja kati ya waigizaji wanaofanya vizuri Gabo Zigamba amefunguka na kusema kuwa kati ya Simba na Yanga hakuna timu hata moja ambayo inam'boa' kwani timu hizo mbili zinategemeana sana.