Hakuna Simba bila Yanga - Gabo Zigamba

Gabo akiwa Kikaangoni

Msanii wa filamu nchini ambaye kwa sasa anatajwa kuwa ni moja kati ya waigizaji wanaofanya vizuri Gabo Zigamba amefunguka na kusema kuwa kati ya Simba na Yanga hakuna timu hata moja ambayo inam'boa' kwani timu hizo mbili zinategemeana sana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS