Watoto albino huuawa wakiwa wachanga - UNESCO Watoto wenye ualbino Ripoti iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa linalojishughulisha na Elimu, Sayansi na Utamaduni la (UNESCO) imebainisha mambo mapya kuhusiana na ukatili dhidi ya watu wenye ualbino. Read more about Watoto albino huuawa wakiwa wachanga - UNESCO