Mifuko ya saruji
Wakizungumza wilayani humo baada ya kumalizika kwa mafunzo ya elimu ya usalama barabarani, wananchi hao wamesema kuwa bidhaa hiyo imepanda ghafla kutoka bei ya shilingi 11,500 mpaka 17,500 katika kipindi cha wiki moja.
Awali, Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba akifunga mafunzo hayo, akawataka baadhi ya wananchi kuacha tabia ya kuweka matuta holela barabarani ambayo yanaweza kusababisha ajali kwa waendesha bodaboda na watumiaji wengine.
Wasikilize hapa Osman Gaswa na Rashid Chande wakazi wa Tandahimba pamoja na Mkuu wa Wilaya hiyo.



