Kikosi cha Mtibwa Sugar kufanyiwa marekebisho

Salum Mayanga, Kocha wa Mtibwa Sugar

Timu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro, leo imejifariji kwa ushindi wa bao 1-0 mbele ya Mbeya City ikiwa nyumbani, na kuvuna point 3 muhimu katika mwendelezo wa ligi kuu ya soka Tanzania Bara, huku kocha wake akitangaza kukifanyia marekebisho kikosi chake

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS