Mtakwimu Mkuu kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Bi. Ruth Minja (kulia) akizungumza na wanahabari hawapo pichani
Mfumuko wa bei kwa mwezi Oktoba mwaka huu umebaki kiwango kile kile kilichokuwa mwezi Septemba, ambapo kasi ya kupanda kwa bei ya bidhaa na gharama za huduma imebakia katika kiwango cha asilimia 4.5