Benki ya Twiga Bancorp yaanza kazi tena
Benki ya Twiga Bancorp imeanza kutoa huduma zake hii leo baada ya kufungwa kwa zaidi ya wiki moja kutokana na kile ambacho Benki Kuu ya Tanzania imekitaja kuwa ni upungufu wa mtaji unaoifanya benki hiyo kujiendesha kwa hasara