Taifa Stars kuifuata Zimbabwe kesho, Novemba 11
Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa amesema anakiandaa kikosi chake vizuri ili kuhakikisha kinafanya vizuri katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe utakaopigwa Novemba 13 mwaka huu.