Museveni awaalika Ikulu Uganda "The Cranes'

Rais Museven akiwa na Timu ya Taifa ya Uganda "The Cranes"

Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni amewapa mwaliko wa chakula cha mchana leo, wachezaji wa timu ya Taifa ya Uganda maarufu kama Uganda Cranes, wanaojiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2018 dhidi ya Congo Brazzaville, Jumamosi hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS