Machinga Mwanza wapokea agizo la Rais kwa shangwe

Wafanyabiashara wadogo Jijini mwanza wakigawana maeneo katika eneo jipya walilohamishiwa.

Shangwe zimelipuka jijini Mwanza baada ya Rais kusitisha amri ya kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo katika jiji la Mwanza Iliyotolewa hivi karibuni na wakuu wa wilaya za Nyamagana na Ilemela.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS