CTI yataka Tanzania imiliki viwanda vya madini

Samuel Nyantahe

Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI) limesisitiza haja ya Tanzania kuwa na viwanda vyake vya kuchenjua na kuongezea thamani bidhaa za madini na kuacha kusafirisha nje madini ghafi kwani uwezo wa kufanya hivyo upo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS