Sendeka akabidhiwa mkoa wa Njombe, Mafuru atupwa

Christopher Ole Sendeka

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 07 Desemba, 2016 amefanya uteuzi wa Katibu Mkuu mmoja na Mkuu wa Mkoa mmoja na pia amefanya mabadiliko madogo katika Wizara na Mikoa kama ifuatavyo;

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS