Simba yaanza kujifua kuimaliza Prisons

Wachezaji wa Simba wakiwa mazoezini

Kikosi cha Simba kimeendelea na mazoezi yake kujiandaa na mechi yao dhidi ya Tanzania Prisons ya Mbeya itayochezwa mwishoni mwa wiki hii Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS