Yanga yapelekwa Aprili 22, Kombe la Shirikisho
Robo Fainali ya tatu ya Kombe la Shirikisho la kati ya Azam FC na Ndanda FC itafanyika Aprili 5, 2017 saa 1.00 usiku kwenye Uwanja wa Azam ulioko Chamazi, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, imefahamika.

