Mchezaji wa yanga Justine Zulu akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuumia katika mchezo wa jana dhidi ya Azam
Klabu ya Yanga imekiri kuathiriwa na majeruhi yanayozidi kuongezeka katika kikosi chake, lakini imejipa moyo kuwa majeruhi siyo mwisho wa mbio zake za kuutetea ubingwa wao wa Ligi Kuu Tanzania.