Kasi ya mfumuko wa bei yaongezeka

Ephraim Kwesigabo

Kiwango cha mfumuko wa bei nchini kimeongezeka kutoka asilimia 5 ilivyokuwa mwezi Desemba mwaka jana hadi asilimia 5. 2 ikiwa ni ishara kwamba kasi ya kupanda kwa bei za bidhaa na huduma imeongezeka kwa wastani wa asilimia 0.2.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS