Nay wa Mitego atangaza ulaji kwa mabinti

Nay wa Mitego

Msanii wa bongo fleva Nay Wa Mitego ametoa nafasi mbili kwa wasanii wa kike ambapo nafasi moja ikiwa ni ya muimbaji na nyingine ya msichana anayeweza ku'rap' ili amsajili kwenye lebo yake ya 'Free Nation'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS