Tundu Lissu agoma kula

Tundu Lissu

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema kuwa wao kama chama pamoja na familia ya Mbunge Tundu Lissu wamekubaliana na kuridhia mbunge huyo kufanya mgomo wa kutokula chochote hadi hapo atakapofikishwa mahakamani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS