Kikwete avunja rekodi ya mapokezi bungeni
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete leo ameteremsha kishindo cha aina yake bungeni baada ya wabunge kumshangilia kwa muda mrefu huku wengine wakitamka maneno ya kutaka arudi tena madarakani kama itawezekana.

