Kikwete avunja rekodi ya mapokezi bungeni

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa na mkewe Mhe. Salma Rashid Kikwete bungeni Dodoma leo.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete leo ameteremsha kishindo cha aina yake bungeni baada ya wabunge kumshangilia kwa muda mrefu huku wengine wakitamka maneno ya kutaka arudi tena madarakani kama itawezekana. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS